TOA TAARIFA ZA KUTAHADHARISHA

Nambari za Mawasiliano

Soomaaliya:
Chaguo la Kwanza (+252) 0612804451
Chaguo la Pili (+252) 618401751
Chaguo la Tatu (+252) 771639671
Kenya (+254) 746846283
Burkina Faso/Bukinafaso Inakuja hivi karibuni
Niger/Nijeri Inakuja hivi karibuni
Msumbiji Inakuja hivi karibuni
Libya Inakuja hivi karibuni
Mali Inakuja hivi karibuni
Djibouti/Jibuti Inakuja hivi karibuni
Mali Inakuja hivi karibuni
Africa Map
KUTOA TAARIFA ZA KUTAHADHARISHA KWA NJIA SALAMA

Toa Taarifa za Kutahadharisha

Taarifa zote zitakazotolewa, ikijumuisha maelezo kuhusu mtu binafsi, zitahifadhiwa kwa njia ya siri.Tutakuuliza utoe taarifa zifuatazo:

Eneo unalotahadharisha kuhusu:
Ili kuhakikisha kuwa tunaelewa mahali au taarifa za kutahadharisha zinahusiana na nini.

Maelezo kuhusu taarifa za kutahadharisha unazotoa:
Ili kuhakikisha kuwa tunaweza kuthibitisha taarifa au ujumbe wa kutahadharisha.

Jina lako:
Ili kuhakikisha kuwa tunaweza kuhifadhi taarifa za kutahadharisha zinazorudiarudia.

Jina lako unalopendelea:
Ili kuhakikisha kuwa tunakurejelea kwa kutumia jina unalopendelea badala ya jina lako la kwanza tunapowasiliana na wewe.

Mbinu ya mawasiliano unayopendelea:
Ili kuhakikisha kuwa tunakufikia tu kwa njia unayopendelea iwapo tutawasiliana na wewe.

Nambari ya simu ya eneo uliko

Hii inapatikana kwa nchi fulani barani Afrika. Hii itafungua skrini nyingine iliyo na nambari za simu za eneo uliko.

Fomu salama mtandaoni

Hii inapatikana kwa nchi zote barani Afrika. Hii itafungua fomu ndani ya sehemu uliofungua,

HATUA YA 1 KATI YA 3

Eneo unalotoa taarifa za kutahadharisha kulihusu

Ikiwa hujui eneo kamili, tafadhali jaribu kutoa maelezo sahihi iwezekanavyo na ujumuishe maelezo zaidi kwenye skrini ifuatayo.

Je, taarifa za kutahadharisha au taarifa hiyo inahusiana na nchi gani?

HATUA YA 2 KATI YA 3

Maelezo kuhusu taarifa za kutahadharisha unazotoa

Imarisha umezekano wa kujishindia zawadi kwa kutoa taarifa za kuaminika na sahihi zinazojumuisha maelezo mahususi ambayo yanaweza kuthibitishwa na hatua kuchukuliwa.

Ni mada gani ya inayohusiana na taarifa za kutahadharisha unazotoa au taarifa hiyo?

Maelezo kuhusu taarifa za kutahadharisha unazotoa au taarifa hiyo

Taarifa za kutahadharisha zilizo sahihi na za kina zina uwezekano mkubwa wa kuthibitishwa na kutuzwa, hasa ikiwa taarifa hizi zinahusu shughuli au watu wanaotafutwa na Idara ya Vita ya USAFRICOM.

Pakia faili (si lazima)

(Faili isizidi megabaiti 10).Ikiwa faili yako ni kubwa, tafadhali acha maelezo ya faili hiyo hapo juu na tunaweza kuwasiliana na wewe ili kupata maelezo zaidi.

submit_tip_step_2.file_upload_hint_text

HATUA YA 3 KATI YA 3

Maelezo Kukuhusu

Idara ya Vita ya USAFRICOM inachukulia suala la usalama wa habari kwa umakini sana. Taarifa yoyote, ikijumuisha maelezo kuhusu nani anayeshiriki nasi taarifa za kutahadharisha, ni ya siri na inalindwa.

Jinsi tunavyopaswa kukurejelea iwapo tutawasiliana na wewe?

Ili kusaidia kuthibitisha taarifa za kutahadharisha na kupanga malipo ya tuzo ikiwa unafaa kutuzwa.

Jinsi tunavyopaswa kuwasiliana na wewe ikihitajika.

Jinsi tunavyopaswa kuwasiliana na wewe ikihitajika.

Tutawasiliana na wewe kupitia barua pepe tu ikiwa hii ndiyo njia unayopendelea kuwasiliana nayo.

Thibitisho kuwa Umetuma

Taarifa zako za kutahadharisha zimetumwa kwa njia salama.

Ni nini kitakachojiri sasa?

Taarifa zako za kutahadharisha sasa zitachunguzwa. Ikithibitishwa kuwa ni za muhimu na kuthibitishwa kuwa ni za kweli, afisa wa USAFRICOM DoWRP atawasiliana na wewe kwa njia ya tahadhari na atakutuza ipasavyo. Kutokana na wingi wa taarifa za kutahadharisha zinazopokelewa na USAFRICOM, inaweza kuchukua muda kabla ya kushughulikia taarifa zako za kutahadharisha. Tafadhali, kuwa na hakikisho kuwa taarifa zako za kutahadharisha zitapitiwa kwa wakati unaofaa.